Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL amezindua rasmi kituo cha kisasa cha maonesho kinachojulikana kama KIJITONYAMA FTTX Experience Center chenye lengo la kuonesha na kuelimisha umma kuhusu teknolojia ya mawasiliano ya kisasa.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa shirika hilo katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini.
The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, has officially launched
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (Mb), amezindua Mfumo wa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeipongeza TTCL kwa juhudi zake katika kuimarisha miundombinu
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua rasmi huduma mpya ya intaneti ya kasi kubwa inayojulikana
Katika kuunga mkono ajenda ya kimkakati ya Serikali ya kuimarisha usawa wa kijinsia na kuongeza ushiriki wa
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wametoa
Katika kuadhimisha na kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani mwaka huu 2026, Wanawake wa
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angela Jasmini Mbelwa Kairuki (Mb), ametoa
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, amewasilisha mafanikio ya
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt.Switbert Mkama amehimiza Uwajibikaji kwa Viongozi,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete