info@ttcl.co.tz
+255 22 214 2000
Sports
November 8, 2023 11:52:03 | By Adeline Berchimance WI-FI YA BURE YAZINDULIWA BENJAMIN MKAPA STUDIUM

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) chini ya usimamizi wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,

Sports
October 11, 2023 12:52:38 | By Adeline Berchimance TTCL QUEENS MABINGWA WAAJIRI HEALTH BONANZA 2023

Timu ya TTCL ya Mpira wa Pete (TTCL Queens) imeibuka kidedea katika Bonanza la Michezo

Sports
October 27, 2023 16:25:13 | By Adeline Berchimance VIONGOZI TTCL WASHIRIKI UZINDUZI WA MICHUANO YA AFL

Tanzania imekuwa Mwenyeji wa Uzinduzi wa Michuano Mipya ya African Football League (AFL) iliyoshuhudiwa na viongozi

Sports
August 14, 2023 15:47:30 | By Adeline Berchimance TTCL YACHANGIA NA KUSHIRIKI CRDB MARATHON 2023

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limeshiriki  Mbio za CRDB International Marathon Msimu wa Nne ambapo ambapo zililenga kukusanya fedha kwa ajili ya kuwasaidia Wanawake wenye ugonjwa wa Fistula wanaotibiwa katika Hospitali ya CCBRT Jijini Dar es Salaam.

Sports
August 17, 2023 14:54:05 | By Adeline Berchimance TTCL QUEENS YAITOA JASHO CBE

Timu ya Mchezo wa Pete ya Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL QUEENS imeifunga magoli 12 kwa 9 timu ya Wafanyakazi wa Chuo cha Elimu ya Biashara CBE katika mchezo uliochezwa Agosti 16 mwaka huu katika viwanja vya chuo hicho.

Sports
September 14, 2023 11:46:04 | By Adeline Berchimance TTCL QUEENS YAIBUKA MSHINDI WA TATU ATE

Timu ya Mpira wa Pete ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, (TTCL Queens) imeshiriki Bonanza la Michezo (ATE)