Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linashiriki Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao kinacholenga kuimarisha matumizi ya (TEHAMA) katika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.
Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL limesema kuwa litapeleka huduma za
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limewasilisha rasmi Mpango Mkakati wa Biashara wa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amekabidhi tuzo ya nafasi ya Tatu katika
T-Pesa ni Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation ambayo majukumu yake ni
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) awatunuku tuzo na vyeti kwa washiriki 57 walioshiriki katika uzinduzi wa huduma ya mawasiliano Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13, 2022.
Mashirika ya Umma yapatayo 248 na Mashirika yasiyo ya Umma 58 kupitia kwa Wenyeviti wa Bodi na
Imeelezwa kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeonesha dhamira thabiti ya kusimamia sekta ya mawasiliano nchini kwa
Shirika la Mawasiliano Tanzania- TTCL Limedhamini Michuano ya Samia Youth Cup lenye lengo la kukuza vipaji kwa vijana katika michezo hapa nchini.
Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wameonesha maandalizi ya hali ya juu katika kuhudumia wateja na
Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL linatoa shukrani kwa washiriki wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi waliotembelea banda lao la
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imefanya ziara katika Kituo cha Kutunza Data Kimtandao
Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL limepongezwa kwa jitihada na kazi kubwa inayofanyika ya kuleta mageuzi kidijitali nchini.
Katika hatua muhimu ya kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
Maonesho ya Saba Saba ni maonyesho ya biashara na viwanda yanayofanyika