info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
February 11, 2025 20:06:28 | By Adeline Berchimance MAKAMU WA RAIS, DKT. MPANGO AZIAGIZA TAASISI NA MASHIRIKA MIFUMO KUSOMANA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linashiriki Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao kinacholenga kuimarisha matumizi ya (TEHAMA) katika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

News
August 26, 2024 12:26:45 | By Adeline Berchimance TTCL KUPELEKA HUDUMA ZA MAWASILIANO KATIKA VITUO VYOTE VYA UTALII NCHINI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL limesema kuwa litapeleka huduma za

News
July 16, 2025 09:00:12 | By Adeline Berchimance MPANGO MKAKATI WA SHIRIKA: UNALENGA KUJIENDESHA KWA TIJA NA UFANISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limewasilisha rasmi Mpango Mkakati wa Biashara wa

News
July 13, 2025 23:05:13 | By Adeline Berchimance WAZIRI MKUU AKABIDHI TTCL TUZO YA NAFASI YA TATU KATIKA SEKTA YA MAWASILIANO – MAONESHO YA 49 YA SABASABA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amekabidhi tuzo ya nafasi ya Tatu katika

News
May 10, 2024 16:41:35 | By Adeline Berchimance T-PESA YAPATA BODI MPYA YATAKIWA KUTIMIZA MALENGO

T-Pesa ni Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation ambayo majukumu yake ni

News
August 9, 2023 12:14:11 | By Adeline Berchimance NAPE ATAMBUA MCHANGO WALIOSHIRIKI UZINDUZI MLIMANI KILIMANJARO.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) awatunuku tuzo na vyeti kwa washiriki 57 walioshiriki katika uzinduzi wa huduma ya mawasiliano Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13, 2022.

News
August 27, 2024 14:55:39 | By Adeline Berchimance KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA CHA ZIKUTANISHA TAASISI 248 ARUSHA

Mashirika ya Umma yapatayo 248 na Mashirika yasiyo ya Umma 58 kupitia kwa Wenyeviti wa Bodi na

News
February 23, 2024 19:42:29 | By Adeline Berchimance TTCL YAZIDI KUJIKITA KIMATAIFA KIBIASHARA

Imeelezwa kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeonesha dhamira thabiti ya kusimamia sekta ya mawasiliano nchini kwa

News
August 26, 2024 12:38:16 | By Adeline Berchimance TTCL YADHAMINI MICHUANO YA KIZIMKAZI SAMIA YOUTH CUP 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania- TTCL Limedhamini Michuano ya Samia Youth Cup lenye lengo la kukuza vipaji kwa vijana katika michezo hapa nchini.

News
June 29, 2025 17:05:25 | By Adeline Berchimance TTCL YAJIPANGA KIKAMILIFU KUWAHUDUMIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA – SABASABA 2025

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wameonesha maandalizi ya hali ya juu katika kuhudumia wateja na

News
August 31, 2024 14:05:55 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA SHUKRANI KWA WASHIRIKI WA KIKAO KAZI CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL linatoa shukrani kwa washiriki wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi waliotembelea banda lao la

News
April 8, 2024 15:57:54 | By Adeline Berchimance TTCL YAPONGEZWA KWA MAGEUZI KIDIGITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL limepongezwa kwa jitihada na kazi kubwa inayofanyika ya kuleta mageuzi kidijitali nchini.

News
July 22, 2025 10:15:08 | By Adeline Berchimance KITUO CHA TAARIFA CHA KILIMANJARO TELECOM KICHOCHEO CHA MAPINDUZI YA KIDIGITALI KIKANDA

Katika hatua muhimu ya kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)

News
July 8, 2024 19:44:12 | By Adeline Berchimance SABA SABA FURSA YA KUKUTANA NA WATEJA NA KUIMARISHA MAHUSIANO KIBIASHARA

Maonesho ya Saba Saba ni maonyesho ya biashara na viwanda yanayofanyika