info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
October 18, 2024 09:29:14 | By Adeline Berchimance WAFANYAKAZI WA BUNGE LA MAREKANI WAFANYA ZIARA TTCL

Wafanyakazi wa Bunge la Marekani (Congressional Staff) Oktoba 17, 2024 walifanya ziara

News
May 14, 2026 10:44:02 | By Ester Mbanguka NAIBU WAZIRI DKT. MKAMA AWASILISHA TAARIFA YA UTENDAJI WA NIDC KAMATI YA BAJETI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), amewasilisha taarifa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika kikao kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma tarehe 13 Mei 2026.

News
August 9, 2024 10:46:59 | By Adeline Berchimance TTCL YAPELEKA HUDUMA ZAKE NANE NANE DODOMA

Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporation limepeleka huduma na bidhaa zake katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji maarufu

News
April 10, 2025 09:55:33 | By Adeline Berchimance N-CARD YAPONGEZWA UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO

Imeelezwa kuwa uwepo wa matumizi ya N-CARD katika maeneo ya vivuko, stendi za mabasi na

News
August 28, 2024 08:09:14 | By Adeline Berchimance TTCL MDHAMINI MKUU HUDUMA ZA MAWASILIANO KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA Moremi Andrea Marwa anashiriki kikao Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na

News
September 6, 2023 09:21:29 | By Adeline Berchimance TTCL YAFANIKISHA MKUTANO WA PAPU KIMTANDAO

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL ni miongoni mwa Taasisi na Mashirika ya Umma yaliyo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari yaliyoshiriki maonesho yaliyoandaliwa na Wizara hiyo wakati wa Kikao cha 41 cha Baraza

News
April 17, 2026 14:25:24 | By Ester Mbanguka TTCL YAZINDUA KIJITONYAMA FTTX EXPERIENCE CENTER

Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL amezindua rasmi kituo cha kisasa cha maonesho kinachojulikana kama KIJITONYAMA FTTX Experience Center chenye lengo la kuonesha na kuelimisha umma kuhusu teknolojia ya mawasiliano ya kisasa.

News
October 24, 2024 08:36:23 | By Adeline Berchimance WAZIRI SILAA ZIARANI MKOANI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry Silaa (Mb) ameanza ziara

News
June 20, 2024 10:32:03 | By Adeline Berchimance TTCL YAWAPATIA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WA CHUO CHA DIT

Wanafunzi wa Chuo cha DIT wameshauriwa kuweka bidii na maarifa katika masomo yao ili waweze kufikia malengo na

News
February 7, 2025 12:39:45 | By Adeline Berchimance WASTAAFU TTCL WAISHUKURU MENEJIMENTI KWA KUWAPA MAFUNZO YA KUSTAAFU

Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL waliostaafu na wanaotarajia kustaafu hivi karibuni wameishukuru Menejimenti

News
October 27, 2025 11:23:44 | By Adeline Berchimance SOCOF YAPONGEZA TTCL KWA UWEKEZAJI KATIKA MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO

Ujumbe kutoka Kampuni ya Mawasiliano ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (SOCOF) umehitimisha

News
January 31, 2026 17:27:46 | By Adeline Berchimance WAZIRI KAIRUKI ATEMBELEA OFISI ZA TTCL ZANZIBAR, APONGEZA UTENDAJI NA KUAGIZA KUONGEZA KASI

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angella Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), Januari 26, 2026

News
September 18, 2024 14:06:27 | By Adeline Berchimance TTCL MSHIRIKI NA MDHAMINI WA MKUTANO WA C2C 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL litawezesha huduma ya mawasiliano ya intaneti yenye kasi, Mkutano wa Kimataifa wa TEHAMA na Mawasiliano

News
April 17, 2026 13:17:55 | By Ester Mbanguka TTCL YAPOKEA TUZO UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KIDIJITALI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa shirika hilo katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini.

News
July 8, 2024 14:25:03 | By Adeline Berchimance ZIARA YA WAJUMBE WA BODI SABA SABA

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bodi ya