Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) akabidhi tuzo kwa familia ya Marehemu Joachim Kapembe, kwa kutambua na kuthamini mchango wa Marehemu Joachim Kapembe wakati wa uzinduzi wa huduma ya Mawasiliano ya Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13 2022.
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeungana na ujumbe wa wataalam kutoka Serikali ya Jamhuri ya
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania- TTCL Bi. Zuhura Muro amesema TTCL inauwezo wa kuifanya Tanzania kuwa nchi kiongozi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC kutokana uwepo wa miundombinu bora ya mawasiliano yenye uwezo wa kufanikisha ukuaji wa uchumi wa kidjitali.
Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporation limepeleka huduma na bidhaa zake katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji maarufu
Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL wapatiwa mafunzo kuhusu Sheria Mpya ya Ununuzi wa
Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation limepongezwa kwa ubunifu wake wa kuiona fursa kwa
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL Corporation, Bw. Moremi Marwa, leo Julai
Wito umetolewa kwa Taasisi, Mashirika ya Umma na binafsi na Wizara mbalimbali kutumia Kituo cha Kutunza Data Kimtandao (Data Centre)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA Moremi Andrea Marwa anashiriki kikao Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na
Mhe.Jerry Silaa amepongeza juhudi za Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL katika kuungaisha nchi za jirani
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb),
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Shree Hindu Mandal wamefanya ziara ya mafunzo katika
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litaendelea kuboresha huduma zake kwa wateja kupitia
Wanawake Viongozi kutoka kwenye Taasisi, Kampuni, Mashirika, Wajasiriamali na Wafanyabiashara wamekutana katika
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imefanya ziara katika Kituo cha Kutunza Data Kimtandao