info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
August 27, 2024 14:55:39 | By Adeline Berchimance KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA CHA ZIKUTANISHA TAASISI 248 ARUSHA

Mashirika ya Umma yapatayo 248 na Mashirika yasiyo ya Umma 58 kupitia kwa Wenyeviti wa Bodi na

News
September 6, 2023 09:21:29 | By Adeline Berchimance TTCL YAFANIKISHA MKUTANO WA PAPU KIMTANDAO

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL ni miongoni mwa Taasisi na Mashirika ya Umma yaliyo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari yaliyoshiriki maonesho yaliyoandaliwa na Wizara hiyo wakati wa Kikao cha 41 cha Baraza

News
August 2, 2023 12:48:23 | By Adeline Berchimance MIUNDOMBINU BORA YA MAWASILIANO KITOVU CHA UKUAJI UCHUMI KIDIGITALI

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania- TTCL Bi. Zuhura Muro amesema TTCL inauwezo wa kuifanya Tanzania kuwa nchi kiongozi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC kutokana uwepo wa miundombinu bora ya mawasiliano yenye uwezo wa kufanikisha ukuaji wa uchumi wa kidjitali.

News
September 19, 2024 08:24:58 | By Adeline Berchimance MHE. SILAA APONGEZA JUHUDI ZA TTCL KATIKA KUUNGANISHA AFRIKA

Mhe.Jerry Silaa amepongeza juhudi za Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL katika kuungaisha nchi za jirani

News
July 13, 2024 13:50:02 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MTENDAJI T- PESA AONGOZA JUKWAA LA WANAWAKE SABASABA 2024

Wanawake Viongozi kutoka kwenye Taasisi, Kampuni, Mashirika, Wajasiriamali na Wafanyabiashara wamekutana katika

News
October 18, 2024 16:30:17 | By Adeline Berchimance WATUMISHI TTCL WAPATIWA MAFUNZO YA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL wapatiwa mafunzo kuhusu Sheria Mpya ya Ununuzi wa

News
August 25, 2023 15:53:22 | By Adeline Berchimance NITAZIONDOA CHANGAMOTO NDANI YA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA – RAIS DKT SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan aahidi kuondoa changamoto zinazozikabili Taasisi na Mashirika ya Umma ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao.

News
August 16, 2024 15:06:02 | By Adeline Berchimance CPA MOREMI MARWA AKABIDHIWA OFISI RASMI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, CPA Moremi Marwa amekabidhiwa rasmi Ofisi baada

News
April 5, 2025 14:40:18 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU WA TTCL ATEMBELEA TANGA KUKAGUA UJENZI WA MINARA YA MAWASILIANO

Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Moremi Marwa, amefanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Tanga kwa ajili ya kukagua

News
April 8, 2024 15:57:54 | By Adeline Berchimance TTCL YAPONGEZWA KWA MAGEUZI KIDIGITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL limepongezwa kwa jitihada na kazi kubwa inayofanyika ya kuleta mageuzi kidijitali nchini.

News
August 12, 2024 13:07:50 | By Adeline Berchimance TTCL YALETA MAPINDUZI YA KIDIJITALI NCHINI – MWAKAGENDA

Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Mwakilishi wa Wanawake Mkoa

News
January 9, 2025 12:13:29 | By Adeline Berchimance IMARISHENI MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO ILI KUFIKIA MALENGO YA SERIKALI – MHANDISI MAHUNDI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb),

News
September 14, 2024 15:22:13 | By Adeline Berchimance T-PESA YAPONGEZWA UTOAJI HUDUMA

Watumishi wa Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, T-PESA

News
May 10, 2024 16:41:35 | By Adeline Berchimance T-PESA YAPATA BODI MPYA YATAKIWA KUTIMIZA MALENGO

T-Pesa ni Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation ambayo majukumu yake ni