info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
April 10, 2025 09:55:33 | By Adeline Berchimance N-CARD YAPONGEZWA UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO

Imeelezwa kuwa uwepo wa matumizi ya N-CARD katika maeneo ya vivuko, stendi za mabasi na

News
January 31, 2026 17:27:46 | By Adeline Berchimance WAZIRI KAIRUKI ATEMBELEA OFISI ZA TTCL ZANZIBAR, APONGEZA UTENDAJI NA KUAGIZA KUONGEZA KASI

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angella Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), Januari 26, 2026

News
March 30, 2023 11:34:25 | By Adeline Berchimance TTCL WOMEN TOUCH THE NEEDY AT OCEAN ROAD

March 8 every year is International Women's Day, or International Women's Day. On this day, the women of the Tanzania Communications Association unite with their fellow women around the world to celebrate this important day.

News
February 16, 2026 21:15:00 | By Adeline Berchimance TTCL YADHAMINI JUKWAA LA SATELAITI LA SADC, YATOA INTANETI YA BURE KWA WASHIRIKI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuthibitisha nafasi yake muhimu katika kukuza sekta ya mawasiliano

News
July 1, 2026 18:59:44 | By Ester Mbanguka TTCL YAENDELEA KUTOA HUDUMA NA ELIMU KWA WANANCHI SABASABA 2026

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linaendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) kutoa huduma na elimu kwa wananchi kuhusu bidhaa na huduma mbalimbali za mawasiliano zinazotolewa na Shirika hilo.

News
July 22, 2026 09:37:17 | By Debora Ngalima KIJA WAJIONEA NGUVU YA TEKNOLOJIA KATIKA KITUO CHA KIDIGITALI KIJITONYAMA

Wanachama wa Kinondoni Jogging Association (KIJA) wametembelea Kituo cha Kidigitali Kijitonyama na kujionea kwa karibu namna teknolojia za kisasa na intaneti yenye kasi zinavyoweza kubadili maisha ya wananchi, kuimarisha biashara na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma mbalimbali.

News
July 13, 2025 23:05:13 | By Adeline Berchimance WAZIRI MKUU AKABIDHI TTCL TUZO YA NAFASI YA TATU KATIKA SEKTA YA MAWASILIANO – MAONESHO YA 49 YA SABASABA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amekabidhi tuzo ya nafasi ya Tatu katika

News
January 31, 2026 17:57:40 | By Adeline Berchimance T-PESA YAIBUKA MSHINDI WA TATU KATIKA WIKI YA WATOA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA

T-PESA, Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), imehitimisha ushiriki wake katika

News
May 31, 2025 16:33:19 | By Adeline Berchimance AfIGF FURSA MUHIMU KWA BARA LA AFRIKA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIJITALI – WAZIRI SILAA

Mkutano Mkuu wa 14 wa Jukwaa la Utawala wa Mtandao Afrika (Africa Internet Governance Forum - AfIGF)

News
August 12, 2026 16:32:47 | By Debora Ngalima RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA TTCL KIZIMKAZI.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea Banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi 2026, ambapo amepata fursa ya kufahamu huduma na mchango wa TTCL katika kuimarisha mawasiliano na kuchochea maendeleo ya uchumi wa kidijitali Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

News
August 28, 2024 16:40:15 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU TTCL ASHIRIKI KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA -ARUSHA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, CPA Moremi Marwa ameshiriki Kikao Kazi cha cha Wenyeviti wa Bodi na

News
August 25, 2023 15:06:26 | By Adeline Berchimance TTCL KITOVU CHA MAENDELEO SEKTA YA MAWASILIANO

Imeelezwa kuwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) ni kitovu cha maendeleo ya Sekta ya Mawasiliano na kitovu cha maendeleo ya uchumi wa Kidigitali nchini.

News
September 8, 2026 19:38:09 | By Debora Ngalima TTCL NA BBS YA BURUNDI WAENDELEA KUBORESHA MAHUSIANO YA KIBIASHARA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano (NICTBB), na Burundi Backbone System (BBS) wamesaini mkataba wa kuongeza uwezo wa huduma za mawasiliano nchini Burundi kutoka 4Gbps hadi 10Gbps.

News
May 16, 2025 10:14:58 | By Adeline Berchimance N-CARD SASA KUWA JAMII KADI

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa ameonesha kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Kituo