info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
July 13, 2024 13:50:02 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MTENDAJI T- PESA AONGOZA JUKWAA LA WANAWAKE SABASABA 2024

Wanawake Viongozi kutoka kwenye Taasisi, Kampuni, Mashirika, Wajasiriamali na Wafanyabiashara wamekutana katika

News
July 6, 2024 20:04:56 | By Adeline Berchimance JAJI MKUU WA TANZANIA AVUTIWA NA HUDUMA YA CALL CENTER SABASABA

Jaji Mkuu waTanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma ametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati wa Maonesho ya

News
August 25, 2024 22:17:30 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA SEMINA KWA WABUNGE WA KAMATI YA PIC

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Agosti 24 mwaka huu lilitoa semina maalum kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya

News
July 4, 2024 12:29:51 | By Adeline Berchimance TTCL YAJA NA HUDUMA YA T CAFE

SHIRIKA ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) limekuja na huduma mpya ambayo itahusisha kufunga mtandao kwa bei nafuu katika

News
September 15, 2023 09:16:44 | By Adeline Berchimance NICTBB NA ESCOM KULETA MABADILIKO SEKTA YA MAWASILIANO

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania-TTCL limesaini Mkataba wa Makubaliano ya Kibiashara na Kampuni ya Serikali ya Malawi

News
August 12, 2025 16:18:29 | By Adeline Berchimance BODI YA WAKURUGENZI TTCL YATEMBELEA NICTBB KIBAHA NA SEACOM

Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imefanya ziara maalum katika kituo cha SEACOM kilichopo

News
October 13, 2024 10:33:32 | By Adeline Berchimance TTCL KUJENGA MINARA 636 KUIMARISHA MAWASILIANO NCHINI

SERIKALI kupitia Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linatarajia kujenga minara 636 Tanzania nzima katika

News
December 16, 2024 16:59:15 | By Ester Mbanguka WAZIRI SILAA AZINDUA RASMI BODI MPYA YA TTCL

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry William Silaa (Mb) amezindua rasmi Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania - TTCL leo tarehe 16 Desemba, 2024, Makao Makuu ya TTCL, jijini Dar es Salaam.

News
April 2, 2025 11:46:42 | By Adeline Berchimance KAMILISHENI UJENZI WA MINARA KWA WAKATI- CPA MARWA

Wakandarasi wa ujenzi wa minara ya mawasiliano wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kwakuzingatia

News
September 18, 2024 14:06:27 | By Adeline Berchimance TTCL MSHIRIKI NA MDHAMINI WA MKUTANO WA C2C 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL litawezesha huduma ya mawasiliano ya intaneti yenye kasi, Mkutano wa Kimataifa wa TEHAMA na Mawasiliano

News
August 23, 2025 17:36:13 | By Adeline Berchimance WANAFUNZI WA SHREE HINDU MANDAL WAFANYA ZIARA TTCL

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Shree Hindu Mandal wamefanya ziara ya mafunzo katika

News
July 16, 2025 09:00:12 | By Adeline Berchimance MPANGO MKAKATI WA SHIRIKA: UNALENGA KUJIENDESHA KWA TIJA NA UFANISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limewasilisha rasmi Mpango Mkakati wa Biashara wa

News
August 12, 2024 10:18:44 | By Adeline Berchimance MRAJISI WA VYAMA VYA USHIRIKA AGUSWA NA HUDUMA YA MALIPO KWA MKUPUO YA T-PESA

Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation limepongezwa kwa ubunifu wake wa kuiona fursa kwa

News
June 16, 2025 07:58:10 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA MWELEKEO MPYA WA UBORESHAJI WA MIAMALA YA KIDIJITALI AFRIKA

Kampuni ya huduma za kifedha kwa njia ya kidijitali, T-Pesa, imeonesha dira ya maboresho ya miamala ya pesa barani Afrika kupitia wasilisho

News
September 15, 2023 14:17:21 | By Adeline Berchimance TUNA MATUMAINI MAKUBWA NA TTCL - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali inayo matumaini makubwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)