info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
January 31, 2026 17:11:13 | By Adeline Berchimance T-PESA YASHIRIKI KIKAMILIFU UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA

Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), T-PESA, imeshiriki kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya

News
April 17, 2026 14:18:58 | By Ester Mbanguka TTCL YAPONGEZWA KWA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 22.9

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.

News
March 9, 2026 07:53:11 | By Adeline Berchimance WANAWAKE - TTCL WAPATIWA SEMINA YA AFYA YA AKILI KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Katika kuadhimisha na kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani mwaka huu 2026, Wanawake wa

News
August 26, 2024 12:48:37 | By Adeline Berchimance RAIS SAMIA APONGEZA TTCL USHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi cheti cha

News
April 8, 2024 15:57:54 | By Adeline Berchimance TTCL YAPONGEZWA KWA MAGEUZI KIDIGITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL limepongezwa kwa jitihada na kazi kubwa inayofanyika ya kuleta mageuzi kidijitali nchini.

News
May 14, 2026 10:44:02 | By Ester Mbanguka NAIBU WAZIRI DKT. MKAMA AWASILISHA TAARIFA YA UTENDAJI WA NIDC KAMATI YA BAJETI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), amewasilisha taarifa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika kikao kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma tarehe 13 Mei 2026.

News
March 14, 2024 12:33:57 | By Adeline Berchimance UBUNIFU, WELEDI, KUJITAMBUA NA KUJIAMINI VYA TAJWA KUWA SILAHA YA WANAWAKE KUTIMIZA MALENGO

Wanawake Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania wameshauri kuendeleza jitihada zaidi na ubunifu, kujitambua,

News
September 24, 2024 09:34:19 | By Adeline Berchimance T-PESA NA NIC ZASHIRIKIANA UTOAJI BIMA KWA WAKUU WA TAASISI

Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, T-PESA Limited na Shirika la Bima

News
August 25, 2023 15:53:22 | By Adeline Berchimance NITAZIONDOA CHANGAMOTO NDANI YA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA – RAIS DKT SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan aahidi kuondoa changamoto zinazozikabili Taasisi na Mashirika ya Umma ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao.

News
June 16, 2025 08:30:38 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU YA MIAMALA TAMASHA LA FINTECH

T-PESA Kampuni tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imeendelea kutoa elimu ya miamala salama ya fedha kimtandao

News
August 16, 2024 15:06:02 | By Adeline Berchimance CPA MOREMI MARWA AKABIDHIWA OFISI RASMI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, CPA Moremi Marwa amekabidhiwa rasmi Ofisi baada

News
April 4, 2025 15:19:52 | By Adeline Berchimance CPA MARWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUTUNZA MIUNDO MBINU YA MAWASILIANO

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA Moremi Marwa, amefanya ziara

News
August 31, 2024 14:05:55 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA SHUKRANI KWA WASHIRIKI WA KIKAO KAZI CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL linatoa shukrani kwa washiriki wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi waliotembelea banda lao la

News
October 13, 2025 08:45:27 | By Adeline Berchimance HUDUMA BORA KWA WATEJA, KIPAUMBELE CHA KWANZA CHA TTCL – NGOWI

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema kuwa litaendelea kuboresha huduma zake kwa kutumia

News
November 12, 2025 11:56:45 | By Adeline Berchimance TANZANIA YANG’ARA KUPITIA TTCL — WBBA YAITAMBUA KAMA KINARA WA MIUNDOMBINU YA KIDIJITALI AFRIKA

Tanzania imeendelea kung’ara katika ramani ya maendeleo ya TEHAMA barani Afrika baada ya Shirika la Mawasiliano Tanzania