info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
May 16, 2025 10:14:58 | By Adeline Berchimance N-CARD SASA KUWA JAMII KADI

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa ameonesha kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Kituo

News
May 27, 2025 16:05:50 | By Adeline Berchimance KONGAMANO LA BIASHARA OSAKA, JAPAN: TTCL YAWAITA WAWEKEZAJI KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetumia fursa ya Kongamano la Biashara linalofanyika jijini Osaka, Japan kuanzia

News
August 23, 2025 17:36:13 | By Adeline Berchimance WANAFUNZI WA SHREE HINDU MANDAL WAFANYA ZIARA TTCL

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Shree Hindu Mandal wamefanya ziara ya mafunzo katika

News
September 22, 2023 11:40:44 | By Adeline Berchimance TAASISI, MASHIRIKA, WIZARA TUMIENI DATA CENTRE KUTUNZA DATA KIMTANDAO – KATIBU MKUU WHMTH

Wito umetolewa kwa Taasisi, Mashirika ya Umma na binafsi na Wizara mbalimbali kutumia Kituo cha Kutunza Data Kimtandao (Data Centre)

News
August 12, 2025 16:37:38 | By Adeline Berchimance WAJUMBE WA BODI YA TTCL WAKAGUA UTEKELEZAJI WA KAMPENI YA “FAIBA MLANGONI KWAKO” KIMARA

Wajumbe wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wamefanya ziara ya ukaguzi katika eneo la Kimara

News
April 8, 2024 15:57:54 | By Adeline Berchimance TTCL YAPONGEZWA KWA MAGEUZI KIDIGITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL limepongezwa kwa jitihada na kazi kubwa inayofanyika ya kuleta mageuzi kidijitali nchini.

News
July 4, 2026 19:36:11 | By Ester Mbanguka MKURUGENZI MKUU TTCL AWAKARIBISHA WANANCHI KUJIONEA SULUHISHO ZA KIDIJITALI SABASABA 2026

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Moremi Marwa amewaalika wananchi kutembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) ili kujionea mageuzi ya kiteknolojia na suluhisho mbalimbali za kidijitali zinazotolewa na Shirika katika kuimarisha huduma za mawasiliano na kuchochea uchumi wa kidijitali nchini.

News
June 28, 2026 18:39:47 | By Ester Mbanguka TTCL YASHIRIKI MAONESHO YA 50 YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABASABA 2026

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linashiriki katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.

News
July 6, 2026 17:42:31 | By Ester Mbanguka MKURUGENZI MKUU TTCL ATEMBELEA MABANDA YA TAASISI ZA MBALIMBALI SABASABA 2026

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Moremi Marwa, ametembelea mabanda ya taasisi mbalimbali zinazoshiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), kwa lengo la kujionea ubunifu wa teknolojia, kuimarisha ushirikiano wa kimkakati na kutambua fursa zinazoweza kuchochea maendeleo ya uchumi wa kidijitali nchini.

News
August 9, 2023 12:10:07 | By Adeline Berchimance WAZIRI NAPE AMLILIA MAREHEMU KAPEMBE, AMPA TUZO YA KIHISTORIA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) akabidhi tuzo kwa familia ya Marehemu Joachim Kapembe, kwa kutambua na kuthamini mchango wa Marehemu Joachim Kapembe wakati wa uzinduzi wa huduma ya Mawasiliano ya Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13 2022.

News
March 27, 2025 11:38:07 | By Adeline Berchimance TTCL YAFUTURISHA WATOTO YATIMA NA WAZEE ZANZIBAR

Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporate Machi 26 mwaka huu limetoa futari kwa Watoto Yatima katika Kituo cha Mazizini na

News
June 16, 2025 07:58:10 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA MWELEKEO MPYA WA UBORESHAJI WA MIAMALA YA KIDIJITALI AFRIKA

Kampuni ya huduma za kifedha kwa njia ya kidijitali, T-Pesa, imeonesha dira ya maboresho ya miamala ya pesa barani Afrika kupitia wasilisho

News
May 14, 2026 10:44:02 | By Ester Mbanguka NAIBU WAZIRI DKT. MKAMA AWASILISHA TAARIFA YA UTENDAJI WA NIDC KAMATI YA BAJETI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), amewasilisha taarifa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika kikao kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma tarehe 13 Mei 2026.

News
September 15, 2023 14:17:21 | By Adeline Berchimance TUNA MATUMAINI MAKUBWA NA TTCL - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali inayo matumaini makubwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)