info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
August 7, 2025 20:17:28 | By Adeline Berchimance TTCL YASUKUMA MAPINDUZI YA TEHAMA SEKTA YA KILIMO KUPITIA MAONESHO YA NANENANE

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linaendelea kuonesha dhamira ya kuleta mageuzi ya kidijitali

News
July 20, 2026 15:34:19 | By Debora Ngalima TTCL YAWASHUKURU WATEJA NA WADAU, YAWAKARIBISHA KUENDELEA KUTUMIA HUDUMA ZAKE

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limewashukuru wananchi, wateja na wadau mbalimbali kwa mwitikio mkubwa waliouonesha kwa kutembelea Banda Na. 26 la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama Sabasaba. Maonesho hayo yalifanyika kuanzia tarehe 28 Juni hadi 13 Julai 2026 katika Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam.

News
October 16, 2024 15:41:23 | By Adeline Berchimance TTCL YADHAMINI KONGAMANO LA NANE LA TEHAMA 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kudhihirisha umuhimu wake katika sekta ya

News
February 23, 2024 19:42:29 | By Adeline Berchimance TTCL YAZIDI KUJIKITA KIMATAIFA KIBIASHARA

Imeelezwa kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeonesha dhamira thabiti ya kusimamia sekta ya mawasiliano nchini kwa

News
August 11, 2025 09:41:37 | By Adeline Berchimance TTCL YAPATA PONGEZI ZA VIONGOZI WA SERIKALI KWA HUDUMA BORA NA MAENDELEO YA MKONGO WA MAWASILIANO NANENANE 2025

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kupewa pongezi kutoka kwa Viongozi Waandamizi wa

News
News
August 23, 2025 17:36:13 | By Adeline Berchimance WANAFUNZI WA SHREE HINDU MANDAL WAFANYA ZIARA TTCL

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Shree Hindu Mandal wamefanya ziara ya mafunzo katika

News
August 28, 2026 08:06:35 | By Debora Ngalima POLISI DAR ES SALAAM YAWAKAMATA 11 KWA TUHUMA ZA HUJUMA MIUNDOMBINU YA TTCL

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watu 11 wanaodaiwa kujihusisha na wizi, uharibifu, usafirishaji na biashara ya miundombinu ya mawasiliano ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), huku likisema hali ya usalama jijini kwa ujumla ni shwari.

News
May 2, 2026 15:31:42 | By Ester Mbanguka MEI MOSI 2026:RAIS SAMIA AHIMIZA BIDII, UAMINIFU NA WELEDI KATIKA KUCHOCHEA UJENZI WA UCHUMI NCHINI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amewahimiza Wafanyakazi kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na weledi mkubwa ili kuchochea ujenzi wa uchumi imara,maendeleo ya jamii kwa kuzingatia misingi ya Amani na Mshikamano.

News
August 7, 2023 12:11:10 | By Adeline Berchimance WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA TTCL SABASABA 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL lililopo ndani ya TEHAMA PAVILION katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

News
August 12, 2024 10:18:44 | By Adeline Berchimance MRAJISI WA VYAMA VYA USHIRIKA AGUSWA NA HUDUMA YA MALIPO KWA MKUPUO YA T-PESA

Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation limepongezwa kwa ubunifu wake wa kuiona fursa kwa

News
June 23, 2026 10:28:50 | By Ester Mbanguka TTCL YAPONGEZWA KWA KUUNGA MKONO AJENDA YA TANZANIA YA KIDIJITALI

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Jafar Rajab Seif, amelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa mchango wake katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuunga mkono jitihada za Serikali za kujenga uchumi wa kidijitali kupitia utoaji wa huduma za kisasa za TEHAMA.

News
August 4, 2026 17:50:04 | By Debora Ngalima TTCL YAJA NA OFA KABAMBE MSIMU WA MAONESHO YA NANE NANE 2026

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetangaza ofa kabambe ya punguzo la bei kwenye vifaa vya intaneti kwa wananchi wanaotembelea banda lake katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane 2026, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha matumizi ya teknolojia ya kidijitali na kuongeza upatikanaji wa huduma bora za mawasiliano nchini.

News
September 24, 2024 09:34:19 | By Adeline Berchimance T-PESA NA NIC ZASHIRIKIANA UTOAJI BIMA KWA WAKUU WA TAASISI

Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, T-PESA Limited na Shirika la Bima