info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
February 11, 2025 20:06:28 | By Adeline Berchimance MAKAMU WA RAIS, DKT. MPANGO AZIAGIZA TAASISI NA MASHIRIKA MIFUMO KUSOMANA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linashiriki Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao kinacholenga kuimarisha matumizi ya (TEHAMA) katika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

News
April 17, 2026 13:17:55 | By Ester Mbanguka TTCL YAPOKEA TUZO UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KIDIJITALI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa shirika hilo katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini.

News
October 18, 2024 16:30:17 | By Adeline Berchimance WATUMISHI TTCL WAPATIWA MAFUNZO YA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL wapatiwa mafunzo kuhusu Sheria Mpya ya Ununuzi wa

News
October 18, 2024 09:29:14 | By Adeline Berchimance WAFANYAKAZI WA BUNGE LA MAREKANI WAFANYA ZIARA TTCL

Wafanyakazi wa Bunge la Marekani (Congressional Staff) Oktoba 17, 2024 walifanya ziara

News
April 8, 2024 15:57:54 | By Adeline Berchimance TTCL YAPONGEZWA KWA MAGEUZI KIDIGITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL limepongezwa kwa jitihada na kazi kubwa inayofanyika ya kuleta mageuzi kidijitali nchini.

News
June 4, 2026 17:32:16 | By Ester Mbanguka UJUMBE WA UETCL WAPONGEZA TTCL KWA KUKUZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA KIDIJITALI AFRIKA MASHARIKI

Ujumbe kutoka Kampuni ya Kusafirisha Umeme nchini Uganda (Uganda Electricity Transmission Company Limited - UETCL) umetembelea Kijitonyama FTTx Experience Centre na kupongeza juhudi za Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika kuwekeza kwenye miundombinu na suluhisho za kidijitali zinazochangia maendeleo ya sekta ya mawasiliano nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki.

News
March 9, 2026 07:53:11 | By Adeline Berchimance WANAWAKE - TTCL WAPATIWA SEMINA YA AFYA YA AKILI KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Katika kuadhimisha na kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani mwaka huu 2026, Wanawake wa

News
October 21, 2025 15:33:17 | By Adeline Berchimance TANZANIA NA DRC KUUNGANISHWA KUPITIA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda kupitia Kikao

News
November 30, 2023 15:24:48 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU KWA WATEJA MAADHIMISHO WIKI YA FEDHA

T- Pesa Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL-Corporation ni miongoni mwa Mashirika na

News
March 18, 2026 10:16:15 | By Adeline Berchimance KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAIPONGEZA TTCL KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI YA MAWASILIANO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeipongeza TTCL kwa juhudi zake katika kuimarisha miundombinu

News
July 25, 2025 15:25:02 | By Adeline Berchimance TTCL NA YAS BUSINESS WAIMARISHA USHIRIKIANO UTEKELEZAJI WA AGENDA YA TANZANIA YA KIDIJITALI

Katika jitihada za kukuza uchumi wa kidijitali na kuimarisha miundombinu ya mawasiliano nchini, Shirika

News
April 17, 2026 14:18:58 | By Ester Mbanguka TTCL YAPONGEZWA KWA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 22.9

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.

News
June 1, 2025 20:10:02 | By Adeline Berchimance TANZANIA YAPONGEZWA KWA MAFANIKIO YA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amesema

News
August 29, 2024 17:27:10 | By Adeline Berchimance CPA MOREMI MARWA ATEMBELEA BANDA LA TTCL ARUSHA

Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, CPA Moremi Marwa, ametembelea Banda la Maonesho la Shirika hilo lililopo katika Viwanja vya Ukumbi

News
June 17, 2026 17:26:40 | By Ester Mbanguka WATUMISHI WAHIMIZWA KUIMARISHA UWAJIBIKAJI KWA HUDUMA ENDELEVU KWA WANANCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete (Mb), amezindua rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma, huku akiwataka watumishi wa umma nchini kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uwajibikaji na kujituma katika kutoa huduma bora na endelevu kwa wananchi.